![]() |
Baadhi ya sababu zilizo tajwa kusababisha klabu ya Arsenal kuwa na rekodi ya juu ya majeruhi katika ligi kuu ya nchini Uingerza ni; Wachezaji kupenda kukaa na mpira kwa muda mrefu (possessing the ball for a long time), wachezaji kutopata muda wa kutosha wa kupumzika baada ya majeraha, kukosekana kwa wataalamu waliobobea katika kuchunguza afya za wachezaji klabuni hapo. |
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumanne, 14 Oktoba 2014
ARSENAL FC NDIYO INAONGOZA KUWA NA MAJERUHI WENGI KWA MISIMU 13 MFULULIZO EPL
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
TIBA YA KIIMANI
a



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni