STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 1 Desemba 2014

Inter Milan yapigwa 4-2 na Roma, Gervinho atupia moja

http://www.iberita.com/wp-content/uploads/2014/11/Jadwal-Liga-Italia-2014-Terbaru-Pekan-Ini-30-November-dan-1-2-Desember-2014.jpg
AS Roma wakishangilia moja ya mabao yao yaliyoizamisha Inter Milan
KLABU ya Inter Milan usiku wa jana imeshindwa kufurukuta nyumbani kwa AS Roma baada ya kubanduliwa mabao 4-2 katika pambano kali la Ligi Kuu ya Italia, Serie A.
As Roma iliwakaribisha wapinzani wao kwa bao la dakika ya 21 kupitia kwa Gervinho kabla wa wageni hao kusawazisha kupitia kwa Ranocchia dakika ya 36.
WWEnyeji waliongeza bao la pili dakik achache baada ya kuanza kwa kipindi cha pili kupitia kwa Holebas kabla ya funga nikufunge kuendelea kwa Inter Milan kurejesha bao hilo kwa mkwaju wa Osvaldo dakika ya 57.
Magoli mawili ya Pjanic ya dakika ya 60 na 90 yaliisaidia wenyeji kuibuka na ushindi huo na kuendelea kuwafukuza Juventus waliopo kileleni wakitofautiana pointi tatu, Juve wakiwa na 34 na Roma 31 zote zikiwa zimecheza mechi 13kila moja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox