STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 2 Desemba 2014

MATIC AWAONYA WENZAKE CHELSEA, AWAKUMBUSHA KILICHOMKUTA BENFICA


Kiungo wa Chelsea, Nemanja Matic amesema pamoja na kucheza mechi 20 bila kupoteza, lakini anawaonya wenzake.
Amesema kucheza mechi hizo bila ya kupoteza, si sababu kwamba wana uhakika wa kutwaa ubingwa.
Kwa LIgi Kuu England, wameishacheza mechi 11 bila ya kupoteza.
Matic amesema wakati akiwa Benfica walicheza mechi 28 bila ya kupoteza, lakini mwisho wakakosa ubingwa.
“Umakini ndiyo jambo muhimu na tunalazimika kuwa makini sana,” alisema Matic.
Matic ndiyo jembe kwenye kiungo cha ukabaji cha Chelsea kwa sasa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox