STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 1 Desemba 2014

SHABIKI MMOJA AFARIKI KATIKA VURUGU HISPANIA KABLA YA MCHEZO WA ATLETICO NA DEPORTIVO.

SHABIKI mmoja amefariki dunia baada ya vurugu kati ya mashabiki kabla ya mchezo wa La Liga kati ya Atletico Madrid dhidi ya Deportivo La Coruna jana. Shabiki huyo wa Deportivo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 43aliondolewa katika mto karibu na Uwanja wa Vincente Calderon unaomilikiwa na Atletico akiwa amepatwa na mshituko wa moyo, baridi yabisi na majeraha ya kichwani na kufia hospitalini. Watu saba wangine walitibiwa majeraha madogo madogo akiwemo polisi mwanamke kutokana na vurugu hizo. Watu 20 walikamatwa na polisi huku wengine 100 walioanzisha vurugu hizo nao wakitambuliwa. Vurugu hizo zimelaaniwa vikali na vilabu vyote viwili pamoja na maofisa wa La Liga. Baadae katika mchezo huo Atletico walishinda kwa mabao 2-0 ukiwa ni ushindi wao watano mfululizo na kuwasogelea vinara wa La Liga Real Madrid kwa tofauti ya alama nne.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox