STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 1 Desemba 2014

VICHWA VITATU VYA BALLON D'OR HIVI HAPA, MSHINDI JANUARI MWAKANI

Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer ndiyo vichwa vitatu vilivyoteuliwa kuwania tuzo ya FIFA Ballon d'Or 2014.

Watatu hao ndiyo wameingia fainali na mshindi atapatikana Januari 12, 2015.

Neuer, 28, aliteuliwa mara ya mwisho mwaka 2006 kuwania tuzo hiyo, usisahau ndiye aliiwezesha Ujerumani kubeba Kombe la Dunia Brazil mwaka huu.

Messi, ndiye mchezaji anaongoza kwa kutwaa tuzo nyingi kama hizo, amebeba mara nne na kwa jina la Ballon d'Or ni kwa miaka hii (2009-2012).

Cristiano Ronaldo anapambana kupata tuzo yake ya tatu Ballon d'Or.

Alitwaa ya kwanza mwaka 2008 akiwa na Manchester United na mara ya mwisho akiwa na Real Madrid na ndiye mtetezi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox