STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 22 Machi 2015

DUNGA AMJUMUISHA PAULISTA KWA MARA YA KWANZA TIMU YA TAIFA


Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Carlos Dunga amemuita beki wa Arsenal Gabriel Paulista katika kikosi chake kitakachocheza mechi ya kirafiki dhidi ya Ufaransa na Chile mwishoni mwa mwezi huu.
Paulista amepata nafasi hiyo kwa mara ya kwanza baada ya Dunga kufanya mabadiliko ya wachezaji watatu katika kikosi chake kufuatia kuumia kwa mabeki watatu, David Luiz,Diego Tardeli na Marquinhos.
Beki huyo wa kati aliyesajiliwa mwezi januari  mwaka huu akitokea Villarreal ameshaichezea klabu ya Arsenal Mechi nne mpaka sasa.
Luiz alipata maumivu ya nyuma mguu katika mechi ya wiki iliyopita waliyofungwa na Bordeaux huku Marquinhos akisumbuliwa na matatizo ya kubwana na misuli.
Kikosi hicho cha Brazil kitakutana siku ya jumatatu au jumanne mjini Paris tayari kwa maandalizi ya mechi ya alhamisi dhidi ya Ufaransa katika dimba la Parc des Princes

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox