SHIRIKISHO la Soka
Duniani-FIFA, limethibitisha kuwa fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2022
nchini Qatar itafanyika Desemba 18. Kikosi kazi cha FIFA kilipendekeza
mwezi uliopita kuwa michuano hiyo inapaswa kuhamishwa kutoka majira ya
kiangazi kama ilivyozoeleka na kuhamia majira ya baridi. Uamuzi wa
kufanya fainali ya michuano kuchezwa Desemba 18, kunamaanisha kuwa
michezo ya Ligi Kuu Uingereza iliyozoeleka kuchezwa Desemba 26 inaweza
kuendeleakama kawaida. Katika uamuzi mwingine, FIFA imeiteua Ufaransa
kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia la wanawake mwaka 2019.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumamosi, 21 Machi 2015
FIFA YATHIBITISHA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2022 QATAR KUCHEZWA DESEMBA 28.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni