STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 25 Machi 2015

LIONEL MESSI AMBWAGA RONALDO


Lionel Messi ndiye mwanasoka tajiri zaidi duniani baada ya kuingiza karibu pauni milioni moja kwa wiki katika fedha zake za ujira pamoja na alizokuwa akilipwa na wadhamini mbalimbali.


Kutokana na fedha hizo, raia huyo wa Argentina anayekipiga Barcelona alitundika benki hadi kitita cha pauni milioni 47.8.
Katika fedha hizo pauni milioni 26 zilitokana na mshahara tu anaolipwa na Barcelona.
 
Mpinzani au mshindani wa mkubwa Cristiano Ronaldo pauni milioni 39.7.
TOP 10 YA WANASOKA WENYE MKWANJA ZAIDI:
1. Lionel Messi £47.8m
2. Cristiano Ronaldo £39.7m
3. Neymar £26.8m
4. Thiago Silva £20.2m
5. Robin van Persie £18.8m
6. Gareth Bale £17.5m
7. Wayne Rooney £16.5m
8. Zlatan Ibrahimovic £15.8m
9. Sergio Aguero £15.6m
10. Robert Lewandowski £14.8m

Source: France Football Rich List

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox