STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 25 Machi 2015

MOURINHO NDIYE KOCHA TAJIRI ZAIDI



Kocha Jose  Mourinho wa Chelsea ndiye kocha anaingiza fedha nyingi zaidi duniani.


Mourinho ameweza kuingiza hadi kitita cha pauni milioni 13.2 kwa mwaka huku akifuatiwa na Carlo Ancelotti wa Real Madrid aliyeingiza pauni milioni 11.

10 BORA YA MAKOCHA WENYE UTAJIRI MKUBWA
1. Jose Mourinho £13.2m
2. Carlo Ancelotti £11.4m
3. Pep Guardiola £11.2m
4. Arsene Wenger £8.3m
5. Louis van Gaal £7.3m
6. Fabio Capello £6.6m
7. Andre Villas-Boas £6.2m
8. Sven-Goran Eriksson £5.9m
9. Jurgen Klopp £5.3m
10. David Moyes na Laurent Blanc £5.1m

Source: France Football Rich List

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox