STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 26 Machi 2015

NEYMAR ANG'ARA BRAZIL IKILIPA KISASI KWA KUICHAPA UFARANSA 3-1


Mshambuliaji wa Brazil, Neymar ameonyesha kiwango cha juu wakati Brazil ikilipa kisasi cha kufungwa mabao 3-0 na Ufaransa katika fainali Kombe la Dunia mwaka 1998.


Katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika ardhi ya Ufaransa kwa mara nyingine tena ikizikutanisha timu hizo, Ufaransa walitangulia mapema kwa bao la beki Varane katika dakika ya 21.

Lakini Neymar aliyekuwa hatari kwa mabeki wa Ufaransa alianza kuwachachfra na kusainia kupatikana kwa bao la kusawazisha katika dakika ya 40, mfungaji akiwa Oscar.
Baadaye Brazil ilipata mabao mawili kupitia Neymar na Luiz Gustavo.
Ufaransa: 
Mandanda 6.5, Sagna 5.5, Varane 6, Sakho 6, Evra 6, Matuidi 6 (Giroud 84 mins), Schneiderlin 6.5, Sissoko 6 (Kondogbia 74), Griezmann 6.5 (Fekir 74), Benzema 4.5, Valbuena 7 (Payet 82)
Subs not used: Costil, Jallet, Guilavogui, Zouma, Tremoulinas, Lacazette, Koscielny, Ruffier.
Goal: Varane 21  

Brazil: 
Jefferson 6.5, Danilo 6.5, Miranda 6.5, Thiago Silva 7, Luis 6.5, Gustavo 6.5(Fernandinho 90), Elias 6.5 (Marcelo 92), Oscar 7 (Souza 86), Neymar 7, Willian 7.5 (Douglas Costa 83), Firmino 6 (Adriano 88)
Subs not used: Diego Alves, Gil, Gabriel, Fabinho, Robinho, Coutinho, Grohe.
Goals: Oscar 40, Neymar 57, Luiz Gustavo 69

Referee: Nicola Rizzoli (Italy).





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox