STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 20 Machi 2015

ROBO FAINALI UEFA HII HAPA; MADRID DEBY , BARCA NA PSG.. IPI GEMU TAMU YA KUANGALIA?


Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali huku Real Madrid ikipewa Atletico Madrid.


Wapinzani hao wakubwa kutoka nchini Hispania walicheza fainali ya mwaka jana ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kuibuka na ushindi, tena katika dakika za mwisho.

Barcelona wao watakutana na kiboko ya Chelsea, yaani PSG.

FC Porto wanakutana na mzigo wa Bayern Munich na Juventus wao watapambana na AS Monaco ya Ufaransa iliyoitoa Arsenal.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox