KLABU ya Real Madrid
imefikia makubaliano na Porto kwa ajili ya kumnunua beki wa kimataifa wa
Brazil Danilo na anatajiwa kujiunga na mabingwa hao wa Ulaya msimu
ujao. Taarifa ya klabu hiyo iliyotumwa katika ukurasa wake wa mtandao wa
kijamii wa twitter iliongeza kuwa nyota huyo mwenye umri wa miaka 23
ambaye hupendelea kucheza zaidi nafasi ya beki wa kulia amepewa mkataba
wa miaka sita ambao utamalizika Juni 30 mwak 2021. Katika taarifa yake
Porto imedai kuwa itamuuza beki huyo kwenda Madrid kwa kitita cha euro
milioni 31.5. Danilo alianza soka lake katika klabu ya nchi kwake Brazil
ya America kabla ya kujiunga na Santos na baadae kwenda Porto Januari
mwaka 2012 ambako amefanikiwa kushinda mataji mawili ya ligi.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatano, 1 Aprili 2015
MADRID YAMNASA DANILO KUTOKA PORTO.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni