STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 13 Agosti 2015

ANGALIA PICHA ZA HAWA WATOTO WAKIIGA BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YA KIMICHEZO, YUMO ZIDANE, BALLOTELI MARADONA NA WENGINE

Siku za karibuni Darren Urquhart na Tom Smith wameanzisha project moja ambayo wameipa jina la “Bad Boys FC”.
Wawili hao wamekumbushia  baadhi ya matukio makali yaliyowahi kutokea katika ulimwengu wa soka ambapo wamewahusisha watoto.
Project hiyo imetumia baadhi ya picha zisizosahaulika katika mchezo wa soka.
Urquhart na Smith walieleza kwamba, wameamua kufanya hivyo ili kuona kama wanamichezo wa sasa wanaweza kuigwa na vijana katika soka la England, wakati huu kuna mishahara mikubwa na maisha mazuri kwa mastaa wa kandanda.
Hapa chini ni picha kutoka project ya  Bad Boy FC 
1. Why Always Me – Mario Balotelli.
Hii haitasahaulika na hapa wamewahusisha watoto ambao wameigiza tukio hilo, huku mmoja akiigiza kama nyota wa Manchester United,  Anderson na  Man City,  David Silva.
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)
2. Tiny Hand of God – Diego Maradona
Hili ni goli la Mkono wa Mungu alilowahi kufunga Diego Maradona, hakika watoto kwa asilimia mia wameigiza kuanzia namna alivyoweka miguu.
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)
3. Baby Teeth – Luis Suarez
Tukio hili la Luis Suarez kumng’ata  Branislav Ivanovic nalo wamejitahidi kuliigiza hapa chini;
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)
4. Kicking & Screaming – David Beckham
Tukio hili ambalo lilifanywa na  Beckham nalo limeigizwa na watoto
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)
5. My Mum’s a What?! – Zinedine Zidane
Hili ni tukio alilofanya Zidane dhidi Marco Materazzi wa Italia.
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)
6. Karate Kid – Eric Cantona
Cantona aliwahi kumshambulia shabiki kwa Kareti, huku mwanamke mmoja kulia akionekana kushangaa. Hapa wamejitahidi kukumbushia tukio hilo.
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)
7. Learn to Play Nice- Martin Keown
Hili ni tukio la Keown na Ruud van Nistelrooy 
Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)Kids recreate famous footy moments ft. Suarezs bite v Chelsea, Cantonas kung fu kick (Pictures)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox