STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 13 Agosti 2015

HUYU NDO BEKI AMBAE NEYMAR HUMUHOFIA ZAIDI UWANJANI.......

Neymar reveals the toughest defenders and best goal of his career

Neymar amemtaja Sergio Ramos kuwa ni moja ya mabeki visiki kabisa aliowahi kukutana nao katika maisha yake ya soka.

Nyota huyo wa Barcelona amemuelezea mlinzi huyo wa kati wa Real Madrid kama " beki kisiki" wakati alipokuwa akiulizwa ni beki gani ambaye anahisi humletea shida katika maisha yake ya soka.

Lakini hata hivyo Neymar pia amesema wachezaji wenzake Javier Mascherano na Gerard Pique pia humpa shida wakati wakiwa mazoezini bila ya kusahau Mbrazil mwenzake Thiago Silva.


"Ni vigumu kusema kuhusu hili, kuna mabeki wengi sana wa kiwango cha juu" alisema. "wapo kina Mascherano, Pique, Thiago Silva ila Sergio Ramos - ni beki wa kati bora sana".

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox