STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 27 Julai 2014

DIEGO COSTA AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO CHELSEA IKIUA 2-1...DROGBA ALIKUWA BENCHI


Mtu hatari: Mshambuliaji wa zamani wa Atletico Madrid, Costa akikimbia baada ya kufunga bao lake la kwanza akiwa na jezi ya bluu ya Chelsea
MABAO ya Diego Costa na Kurt Zouma yameipa Chelsea ushindi wa 2-1 dhidi ya Olimpija Ljubljana jioni hii nchini Slovenia katika mchezo ambao Didier Drgoba aliyerejeshwa tena Stamford Bridge alikuwa benchi
.
Kikosi cha Jose Mourinho kililazimika kupambana na kutoka nyuma kwa bao 1-0 hadi mapunziko baada ya Nik Kapun kuifungia timu hiyo ya Slovenia bao la kuongoza.  Lakini mabao ya kipindi cha pili ya Costa na Zouma yaliipa The Blues ushindi ikitoka nyuma.
Branislav Ivanovic alifikiri amefunga bao la tatu, baada ya awali kukubaliwa, lakini ghafla refa akabadilisha mawazo yake na kukataa bao hilo. 
Kikois cha Chelsea kilikuwa: Delac/Cech dk46, Azpilicueta/Ivanovic dk46, Cahill/Terry dk46, Zouma, Luis/Ake dk46, Matic,Solanke, Fabregas/Romeu dk69, Salah/Chalobah dk72, Boga/Van Ginkel dk46, Brown/Torres dk46 na Costa/Bamford dk72.
 New boy: Summer signing Diego Costa lashes the ball into the back of the net to make it 1-1 in the second half
Diego Costa akijiandaa kufungaRough welcome: Costa is on the receiving end of a strong tackle from Antonio Mlinar Delamea
Costa akipambana na Antonio Mlinar Delamea Orders: Manager Jose Mourinho shouts instructions from the half way line as his team take on Olimpija
Orders: Manager Jose Mourinho shouts instructions from the half way line as his team take on Olimpija
Cool finish: Kurt Zouma (second from left) celebrates his winning goal with team-mate Mohamed Salah
Kurt Zouma (wa pili kushoto) akishangilia bao lake na Mohamed Salah Assist: Former Arsenal and Barcelona midfielder Fabregas impressed on his first appearance for the club
Kiungo wa zamani wa Arsenal na Barcelona, Fabregas alikuwa kivutioa leoMy ball: New signing Filipe Luis (right) shrugs off Olimpija's Nik Omladic (left) before the break
Mchezaji mpya, Filipe Luis (kulia) akipambana na Nik Omladic (kushoto) 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox