STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 27 Julai 2014

REAL MADRID YACHAPWA NA INTER MILAN KWA MATUTA

 
Heshima: Kinda Raul de Tomas (kushoto) akimpongeza Bale baada ya kuifungia Real bao la kwanza katika mechi za kujiandaa na msimu
REAL Madrid imefungwa kwa penalti 3-2 na Inter Milan katika michuano ya Kombe la Kimataifa jana, kufuatia sare ya 1-1 mjini California, Marekani.
Nyota wa Wales, Gareth Bale alitangulia kuifungia Real Madrid dakika ya 10 kabla ya Samir Handanovic kuisawazishia Inter Uwanja wa California Memorial.
Katika mikwaju ya penalti, wachezaji wawili wa Real, Isco na Asier Illarramendi mikwaju yao iliokolewa na kipa Juan Pablo Carrizo kabla ya kinda Omar Mascarell kupaisha.
Inter itakutana na Manchester United mjini Washington Jumanne, wakati Madrid itamenyana na Roma mjini Dallas siku hiyo hiyo.
Hero: Goalkeeper Juan Pablo Carrizo (centre) is congratulated by his team-mates after saving two penalties
Shujaa: Kipa Juan Pablo Carrizo (katikati) akipongezwa na wenzake baada ya kuokoa penalti mbili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox