STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 29 Agosti 2014

DI MARIA AMESEMA CRISTIAN RONALDO ALIMPA TAARIFA ZA NAMBA SABA YA MAN UNITED


 Kiungo mshambuliaji mpya wa Man United, Angel Di Maria amesema ana taarifa kuhusiana na jezi namba 7.
Di Maria amesema ana taarifa za heshima kubwa ya jezi hiyo kwa kuwa alizungumza na Ronaldo ambaye aalikuwa anakipiga naye Real Madrid
.
Amesema pamoja na uongozi wa Man United kutaka aivae, hata yeye alikuwa akitaka kuivaa jezi hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox