STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 16 Septemba 2014

ADEBAYOR APEWA UNAHODHA SPURS

NYOTA wa Togo, Emmanuel Adebayor ameteuliwa kuwa Nahodha Msaidizi wa Tottenham Hotspur, chini ya Mfaransa Younes Kaboul.
Mfaransa huyo ameiongoza Spurs mara kadhaa msimu huu kama nahodha wa mechi na sasa kocha Mauricio Pochettino amempa moja kwa moja beji hiyo akirithi mikoba ya beki Michael Dawson, aliyehamia Hull City mwezi uliopita.
Adebayor atakuwa Nahodha Msaidizi pamoja na kipa Hugo Lloris.
Saluti kwa Nahodha; Emmanuel Adebayor amereuliwa kuwa Nahodha Msaidizi Spurs chini ya  Younes Kaboul 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox