STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 12 Septemba 2014

BRENDAN RODGERS AWAJIA JUU ENGLAND KWA MATIBABU 'MBOFU-MBOFU' KWA DANIEL STURRIDGE

Daniel Sturridge is out for three weeks after getting injured during training on England duty
Daniel Sturridge atakaa nje ya uwanja kwa wiki tatu baada ya kupata majeruhi katika mazoezi ya England

BRENDAN Rodgers ameponda matibabu wanayotoa England kwa mshambuliaji wake Daniel Sturridge baada ya kupata majeruhi ya mguu.
Sturridge aliumia ijumaa iliyopita, saa 48 baada ya kucheza dakika 89 katika ushindi wa England wa bao 1-0 dhidi ya Norway katika mechi ya kimataifa ya kirafiki.
Nyota huyu alikosa mechi ya kuwania kufuzu Euro 2016 dhidi ya Uswizi ambapo England ilishinda mabao 2-0 na sasa yuko nje ya uwanja kwa wiki tatu.
Rodgers amechukia sana kwasababu mshambuliaji wake hakupewa muda mzuri wa kupumzika.
"Tumekatishwa tamaa sana kwasababu tunadhani majeruhi yake ingetibiwa haraka," Bosi wa Anfield alisema.
Daniel Sturridge's thigh strain in camp with the national team could have been avoided, says Brendan Rodgers
Daniel Sturridge amemtia hasara kocha wake Brendan Rodgers
Daniel Sturridge shows his skills in training for England against Phil Jones just before going down injured
Daniel Sturridge akionesha ufundi wake katika mazoezi ya England dhidi ya Phil Jones kabla ya kuumia

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox