STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 16 Septemba 2014

VALENCIA WA WEST HAM ATOA BURUDANI YA AINA YAKE KWA BAO TAAMUU

Mshambuliaji Enner Valencia wa West Ham amefunga bonge la bao katika mechi ya Ligi England dhidi ya Hull City, jana.

Mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya mabao 2-2 huku yote manne yakionekana kuwa “bonge” ya mabao.
Lakini lile la Valencia alilofunga kutokana na shuti lake la umbali wa yadi 20 lilikuwa kali zaidi.
Shuti lake lilichukua muda wa sekunde 7 tu kuwa limetinga nyavuni tokea alipokuwa yeye.
Pia kasi yake ilionekana kuwa kubwa zaidi kwani ilikuwa ni mita 70.1 kwa saa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox