STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 27 Septemba 2014

WACHEZAJI ARSENAL, TOTTENHAM HAWAJALI UPINZANI WA WATANI WA JADI..

Tim Sherwood, kulia, anadhani uzito wa mechi ya watani wa jadi wa London kaskazini umepungua 

NAHODHA na kocha wa zamani wa  Tottenham,Tim Sherwood amelaumu kupungua kwa uzito wa mechi ya watani wa jadi wa kaskazini mwa London, wakati huu Arsenal akijiandaa kuikaribisha Spurs uwanja wa Emirates.
Kocha huyo mwenye miaka 45 ambaye alishuhudia Arsenal ikilala mara mbili katika uwanja wa White Hart Lane akiwa kocha msimu uliopita, anaamini wachezaji wasasa hawatambui umuhimu wa mechi hizo kwa mashabiki wa timu zote mbili.
Katika kolamu yake kwenye gazeti la The Independent, Tim Sherwood aliandika: "Kwasasa haina maana kwa wachezaji? nadhani tamaduni zimebadilika. Unawaona wachezaji wa timu pinzani wanazungumza au kukumbatia wakati wakijandaa kuingia uwanjani".

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox