STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 31 Desemba 2014

AC MILAN YAITUNGUA REAL MADRID 4-2, YABEBA KOMBE DUBAI


MSHAMBULIAJI nyota wa AC Milan, Stephan El Shaarawy amesisitiza hana mpango wowote wa kuondoka katika timu hiyo na badala yake amepania kuipa mafanikio katika mwaka unaokuja. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akisumbuliwa na majeruhi katika miezi 12 iliyopita lakini sasa anaonekana kurejea katika kiwango chake tena baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 4-2 waliopata dhidi ya Real Madrid jana. Wakati dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa kesho, El Shaarawy alikuwa akihusishwa na tetesi za kuondoka San Siro lakini mwenyewe sasa amepania amepania kufurahia mwaka ujao akiwa na timu hiyo. Nyota huyo aliwaambia wanahabari huko Dubai ulipofanyika mchezo wao dhidi ya Madrid kuwa hana mpango na hajafikiria kuondoka Milan kwasasa.

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win
MSHAMBULIAJI nyota wa AC Milan, Stephan El Shaarawy amesisitiza hana mpango wowote wa kuondoka katika timu hiyo na badala yake amepania kuipa mafanikio katika mwaka unaokuja. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akisumbuliwa na majeruhi katika miezi 12 iliyopita lakini sasa anaonekana kurejea katika kiwango chake tena baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 4-2 waliopata dhidi ya Real Madrid jana. Wakati dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa kesho, El Shaarawy alikuwa akihusishwa na tetesi za kuondoka San Siro lakini mwenyewe sasa amepania amepania kufurahia mwaka ujao akiwa na timu hiyo. Nyota huyo aliwaambia wanahabari huko Dubai ulipofanyika mchezo wao dhidi ya Madrid kuwa hana mpango na hajafikiria kuondoka Milan kwasasa.

Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win
 MSHAMBULIAJI nyota wa AC Milan, Stephan El Shaarawy amesisitiza hana mpango wowote wa kuondoka katika timu hiyo na badala yake amepania kuipa mafanikio katika mwaka unaokuja. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akisumbuliwa na majeruhi katika miezi 12 iliyopita lakini sasa anaonekana kurejea katika kiwango chake tena baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 4-2 waliopata dhidi ya Real Madrid jana. Wakati dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa kesho, El Shaarawy alikuwa akihusishwa na tetesi za kuondoka San Siro lakini mwenyewe sasa amepania amepania kufurahia mwaka ujao akiwa na timu hiyo. Nyota huyo aliwaambia wanahabari huko Dubai ulipofanyika mchezo wao dhidi ya Madrid kuwa hana mpango na hajafikiria kuondoka Milan kwasasa
 
Real Madrid: Navas, Arbeloa, Coentrao, Varane, Nacho, Illarra, Isco, Khedira, Jese, Ronaldo, Hernandez 
Subs: Casillas, Pacheco, Pepe, Kroos, Benzema, Rodriguez, Bale, Carvajal, Raul de Tomas, D. Llorente, M. Llorente
Booked: Pepe, Kroos, Carvajal
Scorers: Ronaldo 35, Benzema 84

AC Milan: Diego Lopez, Bonera, Mexes, Zapata, Albertazzi, Montolivo, De Jong, Muntari, Bonaventura, Menez, El Shaarawy 
Subs: Agazzi, Abbiati, Pazzini, Rami, Essien, Poli, Niang, Saponara, Armero, Dias, Da Costa, Zaccardo, Mastour
Booked: Mexes 
Scorers: Menez 24, El Shaarawy 31, 49, Pazzini 73






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox