STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 30 Desemba 2014

MASHABIKI KIBAO WAJITOKEZA KUMPOKEA TORRES AKIREJEA NYUMBANI

 Mshambuliaji Fernando Torres rasmi amerejea nyumbani kwao Madrid na kujiunga na klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid.



Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kumpokea mshambuliaji huyo aliyesota Chelsea na baadaye AC Milan iliyokubalia kumuachia kwa mkopo. Mashabiki hao walikuwa wengi kwenye uwanja wa ndege wakati akiwasili.

Kabla ya kuondoka Atletico na kujiunga na Liverpool, Torres alikuwa nahodha wa klabu hiyo akiwa kinda wa miaka 21 tu.




ENZI HIZO AKIWA ATLETICO...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox