STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 9 Desemba 2014

WACHEZAJI CHELSEA WATUA HOSPITALI NA KUTOA ZAWADI ZA KRISMAS


Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha Chelsea wamewashitukiza watoto waliolazwa kwenye Hospitali ya Westminster jijini London, England kwa kwenda kuwatembelea pia kuwapa zawadi za sikukuu ya Krismas.

Kundi la wachezaji hao likiongozwa na nahodha John Terry waliibuka hospitalini hapo na kuanza kugawa zawadi kwa watoto waliolazwa.


Hakuna aliyetarajia kuwa Terry pamoja na mshambuliaji Diego Costa, kipa Petr Cech na viungo Ramirez na Fillipe Luis wangeibuka hospitalini hapo kimyakimya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox