Maamuzi hayo yamefanywa Jumapili usiku na kutarajiwa kutokea tangu siku ya Jumatatu wakati mmiliki wa klabu hiyo Silvio Berlusconi alipokutana na Brocchi na msaidizi wa rais Adriano Galliano kwa majadiliano ya takribani saa tatu.
Brocchi anakuwa kocha wa tano kukinoa kikosi cha AC Milan ndani ya miaka miwili.
Mihajlovic alijiunga na Milan kutokea Sampdoria mwezi June.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni