STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 26 Juni 2016

BREAKING NEWS; MESSI ASTAAFU KUICHEZEA TIMU YA TAIFA ..........................

Maskini Messi 1

Michuano ya Copa America imefikia tamati leo hii kwa mabingwa watetezi Chile kuendeleza ubabe wake dhidi ya Vigogo wa soka duniani Argentina.


Mshambuliaji nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez ametangazwa kuwa mwanasoka bora wa michuano ya Copa America.
amewapiku nyota wengine wengi wakiwemo Lionel Messi, Angel Di Maria na wengine wengi.


Dakika 120 za mchezo huo zilishuhudia timu hizo zikienda suluhu ya bila kufungana. 

 

Mchezo huo ulitawaliwa na ubabe wa hapa na pale huku ikushuhudiwa timu zote mbili zikimaliza kipindi cha kwanza zikiwa na wachezaji 10 baada ya Marcelo Diaz wa Chile kulambwa kadi mbili za njano na kuwa nyekundu dakika ya 28 kabla ya Marcos Rojo wa Argentina kutolewa nje dakika ya 43 kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja.

 

 Katika upigaji wa penalti,Arturo Vidal wa Chile alianza kwa kukosa kabla ya Lionel Messi na Lucas Biglia kukosa kwa upande wa Argentina.


 

 Hii inakuwa fainali ya pili ndani ya miaka miwili kwa timu hizi mbili kukutana katika hatua ya fainali amapo mara zote mbili Chile wamechukuwa kikombe hicho kwa mikwaju ya penalti.



 Fainali hizi zilichezwa mwaka jana nchini Chile na kurudiwa mwaka huu ikiwa ni maadhimisho ya miaka 100 tokea kuanza kwa michuano hii mwaka 1916.


WAKATI HUO;

 Messi must shoulder some of the blame for latest disappointment after missing the chance to give his side advantage in shoot-out

MESSI ASTAAFU KUICHEZEA ARGENTINA KWA KILIO NA MACHOZI

MAUMIVU ya moyo yamemshinikiza Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi kustaafu kuichezea timu yake ya taifa ya Argentina baada ya jana kufungwa katika fainali ya tatu mfululizo ya Copa America ndani ya miaka mitatu.
 
Messi si mgonjwa wa moyo, bali ameumizwa n a kitendo cha kukosa penalti ya kwanza Argentina ikifungwa kwa penalti 4-2 katika fainali ya Copa America Centenario baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 120.
 
Lionel Messi amestaafu kuichezea timu yake ya taifa ya Argentina 

Messi ambaye alimwaga machozi na kilio baada ya mechi hiyo alizungumza na Televisheni ya Argentina baada ya mechi na kufafanua uamuzi wake. "Ni hivyo. Mimi baso na timu ya taifa,"alisema. 
 
 Messi reached the final of the 2007 Copa América, where he was named young player of the tournament
 
"Si kwangu. Hii ni fainali ya nne. Uamuzi umefanyika, nafikiri hivyo. [kushinda] ndicho ninachoitaka zaidi. Sikuja. nafikiri ni hivyo. Hivyo ndivyo ninavyojisikia kwa sasa, ninachofikiria. ni maumivu makubwa,".
 
 Messi was successful at youth level, winning the 2005 FIFA World Youth Championship

INTERNATIONAL RECORD

Debut: vs Hungary 2005
Appearances: 112
Goals: 55
Finals: Copa America 2007, 2015, 2016
World Cup 2014 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox