STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 21 Juni 2016

HABARI NJEMA KWA MANCHESTER UNITED JUU YA ZLATAN IBRAHIMOVICH............


June 21 2016 jina la nahodha wa timu ya taifa ya Sweden aliyekuwa anaichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu yake ya taifa ya Sweden baada ya michuano ya Euro 2016 kumalizika.

 





Zlatan amefikia maamuzi hayo ikiwa ni siku chache zimepita toka atangazwe katika list ya wachezaji wa Sweden watakaoicheza michuano ya Olympic Brazil, hizi zinatajwa kuwa ni habari njema wa Man United ambao wanatajwa kuwa watamsajili baada ya Euro, kwani atakuwa huru na muda mwingi zaidi wa kuitumikia klabu yao.
wertyu

Nahodha huyo wa Sweden ameanza kucheza timu ya taifa toka 1999 akiwa timu za vijana na mwaka 2001 ndio alianza kucheza timu ya wakubwa

Mechi hizi za Euro 2016 ndio zitakuwa za mwisho mimi kuichezea Sweden, ni heshima kuwa nahodha wa Sweden kwa kipindi chote, popote nitakapoenda nitakuwa na bendera ya Sweden kwa sababu mimi ni msweden”
VIDEO YA ZLATAN AKIFAFANUA;


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox