STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 18 Juni 2016

TIZAMA MUDA AMBAO YANGA WATACHEZA NA MO BEJAIA PIA MICHEZO MINGINE BARANI AFRIKA......................




Ligi ya mabingwa barani Afrika pamoja na shirikisho kwenye hatua ya makundi inaanza rasmi siku ya leo jumamosi.

Mashindano hayo makubwa zaidi kwa ngazi ya vilabu Afrika yamekuwa na ushindani wa hapa na pale kutokana na vipaji vikubwa vya soka katika bara hili.

 2016 CAF Champions League is located in Africa


Kombe la mabingwa linahusisha  vilabu nane ambavyo vimegawanywa katika makundi mawili kundi A ni Zesco United (Zambia), Al Alhly(Misri),ASEC Mimosas (Cote Dvoire),Wydad
Casablanca (Morocco) na kundi B ni,ES Setif (Algeria),Mamelodi Sundowns  (Afrika Kusini),Enyimba (Nigeria) pamoja na  Zamalek ya Misri.

 


Upande wa kombe la shirikisho barani Afrika vilabu shindani ni nane ambavyo navyo vimegawanywa katika makundi mawili A na B, katika kundi A ni   TP Mazembe (DRC), Medeama (Ghana) ,MO Bejaia (Algeria) ,Yanga FC (Tanzania) na kundi B ni  FUS Rabat(Morroco) , Kawkab Marrakech (Morroco) ,Al Ahli Tripoli (Libya) na Étoile du Sahel ya Tunisia.






                           
                 RATIBA YA KLABU BINGWA;

                                Jumamosi Juni 18 2016

Zesco United (Zambia) vs Al Alhly(Misri)-Saa 10:30 Jioni.

ASEC Mimosas (Cote Dvoire) vs Wydad
Casablanca (Morocco) saa 13:30 Mchana.

ES Setif (Algeria) vs Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini)-Saa 6:15 Usiku.

                             Jumapili Juni 19 2016

Enyimba (Nigeria) vs Zamalek(Misri) -Saa 12:00 Jioni.

          RATIBA YA KOMBE LA SHIRIKISHO.

 

                                     Jumapili Juni 19 2016

TP Mazembe (DRC) vs Medeama (Ghana) –Saa 10:30 Jioni.

MO Bejaia (Algeria) vs Yanga FC (Tanzania)- Saa 6:15 Usiku.

                                  Jumatatu Juni 20 2016

FUS Rabat(Morroco) vs Al Ahli Tripoli (Libya)- Saa 7:00 Usiku.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox