STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 25 Juni 2016

UKWELI WA NGOMA NA TAMBWE KUZIPIGA MAZOEZI..............

 

Kama ni mmoja kati ya watu waliosikia zile stori za washambuliaji wa Yanga wa kimataifa Donald Ngoma kutoka Zimbabwe na Amissi Tambwe kutoka Burundi kupigana ngumi, June 25 2016 mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro ameweka wazi ukweli wa tukio lenyewe.
“Kitendo hicho kinachosemwa sio cha kweli, wachezaji walikuwa kwenye mazoezi wakachezeana rafu kwa bahati mbaya, lakini Tambwe aliumia kidogo lakini habari kuwa waligombana sio kweli, Tambwe na Ngoma ifahamike kuwa hawagombanii namba, wote wapo kikosi cha kwanza”


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox