STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 2 Septemba 2016

TAARIFA KAMILI YA MOURINHO KUMZAWADIA SCHWEINSTEIGER HUKU GUARDIOLA AKIZIDISHA MACHUNGU KWA YAYA TOURE........

 
Tokeo la picha la GOOD NEWS,BAD NEWS
 
                  STORI YA KWANZA; 
 
 Tokeo la picha la GOOD NEWS,BAD NEWS
 
Yaya Toure ameachwa katika kikosi cha Manchester City kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.
 

Ikumbukwe kuwa Toure alishawahi kuwa chini ya Guardiola wakati yupo Barcelona na kupata wakati mgumu kabla ya kuamua kuondoka na kuhamia Manchester City.

 
Tayari Guardiola ameshawatoa kwa mkopo Joe Hart, Samir Nasri, Wilfried Bony na Eliaquim Mangala na kuleta mtikisiko kwenye klabu hiyo yenye maskani yake kwenye dimba la Etihad.

The 33-year-old has yet to feature in the Premier League under Pep Guardiola (seen right)
 
Toure amebakia klabuni hapo baada ya dirisha la usajili kufungwa juzi usiku.

Toure (33) alicheza dakika zote tisini kwenye mchezo wa raundi ya pili wa kufuzu kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Steaua Bucharest, lakini jina lake halijajumuishwa kwenye kikosi hicho kinachoundwa na wachezaji 21.

Wachezaji wapya kama Claudio Bravo, John Stones, Ilkay Gundogan, Leroy Sane na Nolito wote wamejumuishwa kwenye kikosi hicho ambacho kitavaana na Barcelona, Borussia Monchengladbach na Celtic kwenye Kundi C.
 
 

MANCHESTER CITY'S 2016-17 CHAMPIONS LEAGUE SQUAD ;

Claudio Bravo, Willy Caballero; Bacary Sagna, Vincent Kompany, Pablo Zabaleta, Aleksandar Kolarov, Gael Clichy, John Stones, Nicolas Otamendi; Fernando, Raheem Sterling, Ilkay Gundogan, Jesus Navas, Kevin De Bruyne, Fabian Delph, Leroy Sane, David Silva, Fernandinho; Nolito, Sergio Aguero, Kelechi Iheanacho. 

STORI YA PILI;
Tokeo la picha la GOOD NEWS,BAD NEWS
 
 
Mchezaji Bastian Schweinsteiger amejumuishwa kwenye kikosi cha mwisho cha klabu ya Manchester United ambacho kitashiriki ligi kuu ya Uingereza chenye wachezaji 25.

Bastian amekuwa katika msuguano na kocha wake Jose Mourinho ambaye tangu anafika labuni hapo alionekana kutokumkubali na kuwa hakuwa akiendana na ahitaji yake ndani yaklabu hiyo.
 

Mourinho alienda mbali zaidi na kumruhusu mchezaji huyo kuweza kuondoka katika klabu hiyo ya jijini Manchester. Hata hivyo Bastian aligoma kwa maana ya kuwa asingeweza kuchezea klabu yoyote tofauti na Manchester kwa Ulaya. Akaweka bayana kuwa baada ya Bayern Munich, klabu ya mwisho ilikuwa Manchester United.

Wiki iliyopita Jose Mourinho alisema kuwa “ni vigumu sana kwa Bastian kucheza chini ya yangu na kwenye kikosi changu, lakini haina maana kuwa haiwezekani.”

Katika siku za mwanzo za maisha ya Mourinho pale Carrington, Bastian Schweinsteiger alitakiwa kufanya mazoezi na timu ya wachezaji wa akiba pamoja na vijana. Jambo hili lilizua maswali pamoja na kupelekea Mourinho kukosolewa kwa kiasi kikubwa hasa na wadau wa soka la Ujerumani.

Siku ya juzi, Bastian alicheza mchezo wkae wa mwisho na kugawa kwa hisia kali na wachezaji na mashabiki wa timu ya Taifa ya Ujerumani. Katika mchezo huo dhidi ya Finland uliofanyika Monchengledbach, Bastian alishindwa kujizuia kutokwa na machozi huku akishuhudia uwanja mzima ukipiga makofi kwake wakati anafanyiwa mabadiliko.

Bastian amechezea timu ya taifa michezo 121 huku pia akiwa amefunga mabao 24. Mchezo wake wa kwanza na timu hiyo ulikuwa miaka 12 iliyopita, mwaka 2004.
 
 Mourinho previously warned it would be difficult for Schweinsteiger to play at United
 
Full squad: Eric Bailly, Daley Blind, Michael Carrick, Matteo Darmian, David De Gea, Memphis Depay, Sadiq El-Fitouri, Marouane Fellaini, Ander Herrera, Zlatan Ibrahimovic, Sam Johsntone, Phil Jones, Jesse Lingard, Juan Mata, Henrikh Mkhitaryan, Paul Pogba, Marcos Rojo, Sergio Romero, Wayne Rooney, Morgan Schneiderlin, Bastian Schweinsteiger, Chris Smalling, Antonio Valencia, Ashley Young.

 Sadiq El-Fitouri was also named in United's 25-man squad for the Premier League season
Under-21 players: Timothy Fosu-Mensah, Anthony Martial, Marcus Rashford, Luke Shaw

Mchezaji Bastian Schweinsteiger amejumuishwa kwenye kikosi cha mwisho cha klabu ya Manchester United ambacho kitashiriki ligi kuu ya Uingereza chenye wachezaji 25.

Bastian amekuwa katika msuguano na kocha wake Jose Mourinho ambaye tangu anafika labuni hapo alionekana kutokumkubali na kuwa hakuwa akiendana na ahitaji yake ndani yaklabu hiyo.

Mourinho alienda mbali zaidi na kumruhusu mchezaji huyo kuweza kuondoka katika klabu hiyo ya jijini Manchester. Hata hivyo Bastian aligoma kwa maana ya kuwa asingeweza kuchezea klabu yoyote tofauti na Manchester kwa Ulaya. Akaweka bayana kuwa baada ya Bayern Munich, klabu ya mwisho ilikuwa Manchester United.

Wiki iliyopita Jose Mourinho alisema kuwa “ni vigumu sana kwa Bastian kucheza chini ya yangu na kwenye kikosi changu, lakini haina maana kuwa haiwezekani.”

Katika siku za mwanzo za maisha ya Mourinho pale Carrington, Bastian Schweinsteiger alitakiwa kufanya mazoezi na timu ya wachezaji wa akiba pamoja na vijana. Jambo hili lilizua maswali pamoja na kupelekea Mourinho kukosolewa kwa kiasi kikubwa hasa na wadau wa soka la Ujerumani.

Siku ya juzi, Bastian alicheza mchezo wkae wa mwisho na kugawa kwa hisia kali na wachezaji na mashabiki wa timu ya Taifa ya Ujerumani. Katika mchezo huo dhidi ya Finland uliofanyika Monchengledbach, Bastian alishindwa kujizuia kutokwa na machozi huku akishuhudia uwanja mzima ukipiga makofi kwake wakati anafanyiwa mabadiliko.

Bastian amechezea timu ya taifa michezo 121 huku pia akiwa amefunga mabao 24. Mchezo wake wa kwanza na timu hiyo ulikuwa miaka 12 iliyopita, mwaka 2004.
- See more at: http://www.barakampenja.com/2016/09/mourinho-amrejesha-schweisteiger.html#sthash.2sZfAR9N.dpuf
Yaya Toure ameachwa katika kikosi cha Manchester City kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.

Ikumbukwe kuwa Toure alishawahi kuwa chini ya Guardiola wakati yupo Barcelona na kupata wakati mgumu kabla ya kuamua kuondoka na kuhamia Manchester City.

Tayari Guardiola ameshawatoa kwa mkopo Joe Hart, Samir Nasri, Wilfried Bony na Eliaquim Mangala na kuleta mtikisiko kwenye klabu hiyo yenye maskani yake kwenye dimba la Etihad.

Toure amebakia klabuni hapo baada ya dirisha la usajili kufungwa juzi usiku.

Toure (33) alicheza dakika zote tisini kwenye mchezo wa raundi ya pili wa kufuzu kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Steaua Bucharest, lakini jina lake halijajumuishwa kwenye kikosi hicho kinachoundwa na wachezaji 21.

Wachezaji wapya kama Claudio Bravo, John Stones, Ilkay Gundogan, Leroy Sane na Nolito wote wamejumuishwa kwenye kikosi hicho ambacho kitavaana na Barcelona, Borussia Monchengladbach na Celtic kwenye Kundi C.
- See more at: http://www.barakampenja.com/2016/09/yaya-toure-nje-kikosi-cha-man-city-cha.html#sthash.9tJFWS9x.dpuf
Yaya Toure ameachwa katika kikosi cha Manchester City kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.

Ikumbukwe kuwa Toure alishawahi kuwa chini ya Guardiola wakati yupo Barcelona na kupata wakati mgumu kabla ya kuamua kuondoka na kuhamia Manchester City.

Tayari Guardiola ameshawatoa kwa mkopo Joe Hart, Samir Nasri, Wilfried Bony na Eliaquim Mangala na kuleta mtikisiko kwenye klabu hiyo yenye maskani yake kwenye dimba la Etihad.

Toure amebakia klabuni hapo baada ya dirisha la usajili kufungwa juzi usiku.

Toure (33) alicheza dakika zote tisini kwenye mchezo wa raundi ya pili wa kufuzu kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Steaua Bucharest, lakini jina lake halijajumuishwa kwenye kikosi hicho kinachoundwa na wachezaji 21.

Wachezaji wapya kama Claudio Bravo, John Stones, Ilkay Gundogan, Leroy Sane na Nolito wote wamejumuishwa kwenye kikosi hicho ambacho kitavaana na Barcelona, Borussia Monchengladbach na Celtic kwenye Kundi C.
- See more at: http://www.barakampenja.com/2016/09/yaya-toure-nje-kikosi-cha-man-city-cha.html#sthash.9tJFWS9x.dpuf

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox