STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 29 Julai 2014

BABA YAKE TEVEZ ATEKWA ARGENTINA, CARLOS AKWEA PIPA KURUDI NYUMBANI KUMKOMBOA MZEE

BABA wa mchezaji wa zamani wa Manchester United na Manchester City, Carlos Tevez ametekwa nchini Argentina, kwa mujibu wa taarifa. 
La Nacion ya Argentina imeripoti kwamba Juan Carlos Cabrera alikuwa anaendesha gari lake katika Manispaa ya Moron, jimbo la Buenos Aires, wakati anatekwa asubuhi ya leo.
Klabu ya Tevez, Juventus imethibitisha kwamba mshambuliaji huyo amekwenda Argentina baada ya tukio hilo asubuhi ya leo. Pamoja na hayo, klabu haina taarifa zaidi juu ya tukio hilo.

Wakati mgumu: Carlos Tevez akiwa na baba yake, Juan Carlos Cabrera ambaye ameripotiwa kutekwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox