STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 31 Julai 2014

CHELSEA YAICHAPA VITESSE 3-1, COSTA ATAKA KUZICHAPA, DROGBA AENDELEA KUBAKI BENCHI

Chelsea imeichapa Vitesse Arnhem ya Uholanzi kwa mabao 3-1 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa.
Lakini mechi hiyo ilikuwa na rekodi kadhaa, mfano Cesc Fabregas akianza kuifungia Chelsea bao la kwanza katika hayo matatu, mabao mengine yalifungwa na Mo Salah, Nemanja Matic.

Diego Costa ambaye alitengeneza mabao yote matatu alitaka kuzichapa uwanjani na beki wa Vitesse, Guram Kashia akimtuhumu kumchezea rafu mbaya kwa makusudi.
Mshambuliaji aliyerejea Chelsea, Didier Drogba aliendelea kubaki kwenye benchi akishuhudia Chelsea ikiendelea na mechi za kirafiki.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox