STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 27 Julai 2014

DEJAN LOVEN ATUA LIVERPOOL KWA DAU LA REKODI TANGU TIMU IANZISHWE



Sasa ni mwekundu wa Anfield: Lovren akiwa ameshika jezi ya Liverpool viwanja vya mazoezi vya timu hiyo, Melwood 
BEKI wa kimataifa wa Croatia, Dejan Lovren amekamilisha uhamisho wake kutua Liverpool kwa dau la Pauni 20 kutoka Southampton.
Sasa mchezaji huyo anaweka rekodi ya kuwa beki ghali zaidi kuwahi kusajiliwa na Wekundu hao wa Anfield akipiku dau la Pauni Milioni 18.6, ambalo Liverpool ililipa kumsajili beki wa Paris St Germain, Mamadou Sakho Septemba mwaka jana.
Lovren, ambaye amekuwa mlengwa chaguo la kwanza la beki wa kati katika mawindo ya kocha Brendan Rodgers dirisha hili la usajili, amesaini mkataba wa miaka minne baada ya kufuzu vipimo vya afya Merseyside.
 Watano walionunuliwa kabla:
-Straika: Rickie Lambert, Miaka 32, Pauni Milioni 4 kutoka Southampton
-Kiungo: Adam Lallana, Miaka 25, Pauni Milioni 25 kutoka Southampton
-Kiungo: Emre Can, Miaka 20, Pauni Milioni10 kutoka Bayer Leverkusen
-Winga: Lazar Markovic, Miaka 20, Pauni Milioni 20 kutoka Benfica
-Beki: Dejan Lovren, Miaka 25, Pauni Milioni 20 kutoka Southampton
 
 
On the move: Dejan Loven has sealed a £20m switch to Liverpool from Southampton
Dejan Loven ametua kwa dau la Pauni Milioni 20 kutoka Southampton
Warrior: Lovren becomes the most expensive defender in Liverpool's history
Lovren sasa ni beki ghali zaidi kihistoria kuwahi kutokea Liverpool

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox