STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 27 Julai 2014

STRAIKA MPYA SIMBA SC ATUA DAR NA PIGO ZA BALOTELLI

Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Paul Kiongera kutoka Kenya akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Iddi Kajuna baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya leo.
Staili ya Balotelli; Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Kenya na klabu ya KCB ya kwao, amekuja kukamilisha usajili wake Simba SC, baada ya kuwa tayari amekwishafanya mazungumzo na uongozi wa klabu hiyo. Hili ni vazi maarufu kama Balotelli, ambalo kwa mara ya kwanza alionekana mshambuliaji wa Italia, Mario Balotelli amevaa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox