HUKU kukiwa na tetesi nzito kwamba Yanga inatafakari uwezekano wa
kujitoa kushiriki Mashindano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na
Kati, CECAFA KAGAME CUP, ambayo yatachezwa huko Kigali Nchini Rwanda
kuanzia Agosti 8 na kumalizika Agosti 24, baadhi ya Wadau wake wameitaka
isichukue uamuzi huo.
Kwenye Ratiba iliyotolewa na CECAFA Wiki iliyopita, Yangawamepangwa Kundi A na wataanza kwa kuivaa Rayon Sports ya Rwanda kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali hapo Ijumaa Agosti 8.
+++++++++++++++++++
MAKUNDI:
KUNDI A
-Rayon Sports [Rwanda]
-Yanga [Tanzania]
-Coffee [Ethiopia]
-Atlabara [South Sudan]
-KMKM [Zanzibar]
KUNDI B
-APR FC [Rwanda]
-KCCA [Uganda]
-Flambeau de l'est [Burundi]
-Gor Mahia [Kenya]
-Telecom [Djibouti]
KUNDI C
-Vital'O [Burundi]
-El Merreikh [Sudan]
-Benadir [Somalia]
-Polisi [Rwanda]
+++++++++++++++++++
Aliewahi kuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Kennedy Mwaisabula, ameiasa Yanga kwamba
itakuwa ni aibu kwao kujitoa kwani Mashindano hayo ni muhimu kwa ajili ya matayarisho yao kwa ajili ya Msimu mpya wakiwa chini ya Kocha mpya Marcio Maximo kutoka Brazil.
Vile vile Mwaisabula alisema Mashindano hayo yatawasaidia sana Wachezaji wao wapya hasa Wabrazil wawili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’ na Andrey Marcel Ferreira, kupata uzoefu wa Soka la maeneo yetu.
Akijibu madai ya Yanga kwamba hawajapata mwaliko rasmi kutoka CECAFA, Kocha huyo wa zamani ameeleza CECAFA haipaswi kuwajulisha Vilabu binafsi bali huwasiliana na TFF.
Mwaisabula pia amesema Kagame Cup huchezwa kila Mwaka na kwa vile Yanga ndio walikuwa Mabingwa wa Tanzania Bara Mwaka Jana walipaswa kuujua ushiriki wao.
Pia, alikumbushia TFF ilivyolazimika kuahirisha kuanza kwa VPL, Ligi Kuu Vodacom, kutoka Agosti 24 na sasa kuanza Septemba 20 ili kuruhusu Timu zake zishiriki.
RATIBA KAMILI:
**MUDA WA KUANZA MECHI UTAAMULIWA KATI YA CECAFA, FERWAFA NA SUPERSPORT KWA AJILI YA MATANGAZO LAIVU YA TV.
Kwenye Ratiba iliyotolewa na CECAFA Wiki iliyopita, Yangawamepangwa Kundi A na wataanza kwa kuivaa Rayon Sports ya Rwanda kwenye Uwanja wa Amahoro, Kigali hapo Ijumaa Agosti 8.
+++++++++++++++++++
MAKUNDI:
KUNDI A
-Rayon Sports [Rwanda]
-Yanga [Tanzania]
-Coffee [Ethiopia]
-Atlabara [South Sudan]
-KMKM [Zanzibar]
KUNDI B
-APR FC [Rwanda]
-KCCA [Uganda]
-Flambeau de l'est [Burundi]
-Gor Mahia [Kenya]
-Telecom [Djibouti]
KUNDI C
-Vital'O [Burundi]
-El Merreikh [Sudan]
-Benadir [Somalia]
-Polisi [Rwanda]
+++++++++++++++++++
Aliewahi kuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Kennedy Mwaisabula, ameiasa Yanga kwamba
itakuwa ni aibu kwao kujitoa kwani Mashindano hayo ni muhimu kwa ajili ya matayarisho yao kwa ajili ya Msimu mpya wakiwa chini ya Kocha mpya Marcio Maximo kutoka Brazil.
Vile vile Mwaisabula alisema Mashindano hayo yatawasaidia sana Wachezaji wao wapya hasa Wabrazil wawili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’ na Andrey Marcel Ferreira, kupata uzoefu wa Soka la maeneo yetu.
Akijibu madai ya Yanga kwamba hawajapata mwaliko rasmi kutoka CECAFA, Kocha huyo wa zamani ameeleza CECAFA haipaswi kuwajulisha Vilabu binafsi bali huwasiliana na TFF.
Mwaisabula pia amesema Kagame Cup huchezwa kila Mwaka na kwa vile Yanga ndio walikuwa Mabingwa wa Tanzania Bara Mwaka Jana walipaswa kuujua ushiriki wao.
Pia, alikumbushia TFF ilivyolazimika kuahirisha kuanza kwa VPL, Ligi Kuu Vodacom, kutoka Agosti 24 na sasa kuanza Septemba 20 ili kuruhusu Timu zake zishiriki.
RATIBA KAMILI:
TAREHE |
NA |
MECHI |
KUNDI |
UWANJA |
Ijumaa Agosti 8 |
1 |
Atlabara v KMKM |
A |
NYAMIRAMBO |
|
2 |
Rayon v Yanga |
A |
AMAHORO |
|
3 |
Gor Mahia v KCCA |
B |
AMAHORO |
Jumamosi Agosti 9 |
4 |
Vital ‘O’ v Banadir |
C |
AMAHORO |
|
5 |
Police v El Mereikh |
C |
AMAHORO |
|
6 |
APR v Flambeau |
B |
AMAHORO |
Jumapili Agosti 10 |
7 |
KMKM v Young |
A |
AMAHORO |
|
8 |
Telecom Vs KCCA |
B |
NYAMIRAMBO |
|
9 |
Coffee v Rayon |
A |
AMAHORO |
Jumatatu Agosti 11 |
10 |
Banadir v El Mareikh |
C |
NYAMIRAMBO |
|
11 |
Gor Mahia v Flambeau |
B |
‘’ |
|
12 |
Vital ’O’ v Police |
C |
‘’ |
Jumanne Agosti 12 |
13 |
KMKM v Coffee |
A |
‘’ |
|
14 |
Yanga v Atlabara |
A |
‘’ |
Jumatano Agosti 13 |
15 |
APR v Telecom |
B |
‘’ |
|
16 |
KCCA v Flambeau |
B |
‘’ |
Alhamisi Agosti 14 |
17 |
Coffee v Atlabara |
A |
|
|
18 |
Rayon v KMKM |
A |
|
|
19 |
Police v Banadir |
C |
|
Ijumaa Agosti 15 |
20 |
Flambeau v Telecom |
B |
|
|
21 |
APR v Gor mahia |
B |
|
|
22 |
El Mareikh v Vital ‘O’ |
C |
|
Jumamosi Agosti 16 |
23 |
Coffee v Yanga |
A |
|
|
24 |
Rayon v Atlabara |
A |
|
Jumapili Agosti 17 |
25 |
Telecom v Gormahia |
B |
|
|
26 |
KCC v APR |
B |
|
Jumatatu Agosti 18 |
|
MAPUMZIKO |
|
|
Jumanne Agosti 19 |
|
ROBO FAINALI |
|
|
|
27 |
C1 v B3 |
|
NYAMIRAMBO |
|
28 |
A1 v B2 |
|
‘’ |
Jumatano Agosti 20 |
29 |
A2 v C2 |
|
‘’ |
|
30 |
B1 v A3 |
|
‘’ |
Alhamisi Agosti 21 |
|
MAPUMZIKO |
|
|
Ijumaa Agosti 22 |
|
NUSU FAINALI |
|
|
|
31 32 |
Mshindi 27 v Mshindi 28 Mshindi 29 v Mshindi 30 |
|
AMAHORO |
Jumamosi Agosti 23 |
|
MAPUMZIKO |
|
|
Jumapili Agosti 24 |
|
MSHINDI WA 3 & FAINALI |
|
|
|
33 34 |
Mfungwa 31 v Mfungwa 32 Mshindi 31 v Mshindi 32 |
|
AMAHORO |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni