Baada ya mechi 106 na kufunga mabao 29,
kiungo Frank Lampard ametangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya England.
Lampard ambaye sasa anakipiga na Manchester
City, ametangaza kustaafu huku akisema ni wakati mwafaka.
Lampard ametangaza siku chache baada ya
Steven Gerrard naye kutangaza kustaafu kuichezea timu yake hiyo ya taifa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni