KIUNGO
Angel di Maria amefaulu vipimo vya afya kuelekea kukamilisha uhamisho
wake wa Pauni Milioni 59.7 Manchester United kutoka Real Madrid.
Dili
hilo la kuvunja rekodi ya usajili Uingereza, litamfanya Di Maria awe
analipwa Pauni 200,000 kwa wiki katika Mkataba wa miaka mitano
atakaosaini.
Sasa mchezaji huyo anaelekea makao makuu ya klabu kwa ajili ya kusaini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni