Mshambuliaji Mario Balotelli akifanya mazoezi peke yake leo
Liverpool wakati wachezaji wenzake wakiwa mapumzikoni baada ya kuchapwa
mabao 3-1 jana na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England
Uwanja wa Etihad
Balotelli akiongozwa na mmoja wa makocha wa Liverpool
Balotelli amejiunga na Liverpool juzi kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 16 kutoka AC Milan
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni