STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 19 Agosti 2014

BEKI MPYA MRUNDI NAYE ATUA ZANZIBAR TAYARI KUANZA MAZOEZI NA SIMBA

BUTOYI (KULIA) AKIMDHIBITI SSERUNKUMA KWENYE MICHUANO YA KAGAME JIJINI KIGALI, RWANDA.

Beki Hassan Butoyi raia wa Burundi anatarajia kutua leo mjini Zanzibar kuanza majaribio ya kutafuta nafasi Simba.

Butoyi anayekipiga katika kikosi cha Telecom ya Djibouti amekamilisha mazungumzo na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe.

Mazungumzo hayo yamefanyika mjini Kigali na sasa Butoyi anatua leo Zanzibar ambako Simba imeweka kambi chini ya Kocha Patrick Phiri.
Hata hivyo Simba imeshakamilisha wachezaji watano wa kimataifa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox