STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 21 Agosti 2014

EDIN DZEKO AJIPIGA KITANZI MPAKA 2018 MANCHESTER CITY


  Edin Dzeko akisaini mkataba mpya.

EDIN Dzeko amesaini mkataba wa miaka minne na mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini England, Manchester City.
Nyota huyo wa kimataifa wa Bosnia aliandika katika mtandao wake wa Twita kuwa amesaini mkataba na alisema: "Nimefurahi na najivunia kuongeza mkataba na Manchester City. Nipo pale ninapopenda. Nimeongeza mpaka 2018.
Mshambuliaji huyo aliifungia mabao 65 klabu yake katika mechi 156 alizoichezea tangu ajiunge nayo mwaka 2011 kutokea klabu Wolfsburg ya Ujerumani.
All smiles: Dzeko poses for the camera having committed himself to the club until 2018
Maisha yanataka nini tena?: Dzeko akipozi mbele ya Camera baada ya kuanguka miaka minne, sasa atadumu Etihad mpaka 2018

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox