Rasmi Samuel Eto’o Fils ,33, amesaini mkataba wa
miaka miwili kuichezea Everton.
Awali alikuwa ‘akinukia’ Liverpool ambayo
baadaye iliamua kumtwaa Mario Balotelli na mkongwe huyo raia wa Cameroon,
ametua kwa majirani zao Everton.
Msimu uliopita, Eto’o alikipiga
Chelsea ambako hata hivyo alionekana kutoiva vizuri na Jose Mourinho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni