MK Dons inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza England,
imeichapa Manchester United kwa mabao 4-0.
MK Dons imeichapa mabao hayo katika michuano ya
Kombe la Ligi iliyofanyika leo, United ikiwa ugenini.
William Grigg alifunga mabao mawili na Benik Afobe
akamalizia mawili na kuizamisha Man United na Louis van Gaal na msaidizi wake
Ryan Giggs.
Mabao
waliyofungwa Manchester yalikuwa 'laini' kutokana na ukuta kuwa mbovu
hivyo kuruhu washambuliaji wa MK Dons ambayo ilishika nafasi ya 10
katika Ligi Daraja la Kwanza msimu uliopita, kumjaribu kila wakati David
De Gea.
MK
DONS VS MANCHESTER UNITED
MK
DONS XI: Martin, Baldock, Lewington (c),
Kay, McFadzean, Alli, Potter, Bowditch, Reeves, Carruthers, Grigg
SUBS: McLoughlin, Spence, Green, Randall, Powell, Hitchcock, Afobe
MANCHESTER
UNITED XI: De Gea, M Keane, Evans (c),
Vermijl, James, Powell, Janko, Anderson, Hernandez, Kagawa, Welbeck
SUBS: Amos, McNair, Thorpe, A Pereira, Januzaj, Zaha, Wilson
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni