STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 26 Agosti 2014

HII MANCHESTER SASA IMEZIDI, YACHAPWA 4-0 NA KITIMU CHA DARAJA LA KWANZA!



MK Dons inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza England, imeichapa Manchester United kwa mabao 4-0.

MK Dons imeichapa mabao hayo katika michuano ya Kombe la Ligi iliyofanyika leo, United ikiwa ugenini.
William Grigg alifunga mabao mawili na Benik Afobe akamalizia mawili na kuizamisha Man United na Louis van Gaal na msaidizi wake Ryan Giggs.

Mabao waliyofungwa Manchester yalikuwa 'laini' kutokana na ukuta kuwa mbovu hivyo kuruhu washambuliaji wa MK Dons ambayo ilishika nafasi ya 10 katika Ligi Daraja la Kwanza msimu uliopita, kumjaribu kila wakati David De Gea.


MK DONS VS MANCHESTER UNITED
MK DONS XI: Martin, Baldock, Lewington (c), Kay, McFadzean, Alli, Potter, Bowditch, Reeves, Carruthers, Grigg
SUBS: McLoughlin, Spence, Green, Randall, Powell, Hitchcock, Afobe
MANCHESTER UNITED XI: De Gea, M Keane, Evans (c), Vermijl, James, Powell, Janko, Anderson, Hernandez, Kagawa, Welbeck
SUBS: Amos, McNair, Thorpe, A Pereira, Januzaj, Zaha, Wilson

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox