STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 24 Agosti 2014

GIROUD AINUSURU ARSENAL KULALA KWA EVERTON, SARE 2-2


Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Arsenal dakika ya 90

BAO la dakika ya mwisho la Olivier Giroud limeipa sare ya ugenini Arsenal katika mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu ya England baada ya kufungana mabao 2-2 na Everton
Kocha Arsene Wenger alimtumia Alexis Sanchez kama mshambuliaji pekee kabla ya kumpumzisha baada ya dakika 45 za kwanza, wakati Mesut Ozil alimchezesha wingi ya kushoto na alichangia bao la kwanza.
Seamus Coleman alitangulia kuifungia Everton kwa kichwa dakika ya 19, kabla ya Steven Naismith kufunga la pili dakika ya 45 licha ya kwamba alikuwa ameotea.
Aaron Ramsey aliifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 83, kabla ya Giroud kusawazisha dakika ya 90. 
Kikosi cha Everton kilikuwa; Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, McCarthy, Barry, Mirallas/Atsu dk85,Naismith, Pienaar/Osman dk10 na Lukaku/McGeady dk76.
Arsenal; Szczesny, Debuchy, Chambers, Mertesacker, Monreal, Flamini, Oxlade-Chamberlain/Campbell dk74, Ramsey, Wilshere/Cazorla dk74, Ozil na Sanchez/Giroud dk46.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox