STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 22 Agosti 2014

MANCHESTER UNITED YAPAMBANA 'KUFA KUPONA' KUWANASA DI MARIA, SAMI KHEDIRA

Pair of aces: Angel Di Maria (left) and Sami Khedira are both on Manchester United's radar
  Angel Di Maria (kushoto) na Sami Khedira wanatakiwa na Manchester United.

MANCHESTER United bado wanapambana kuhakikisha wanawasajili nyota wawili wa Real Madrid, Muargentina, Angel di Maria na Mjerumani Sami Khedira.
Habari njema kwa mashabiki wa United ni kwamba makamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Ed Woodward anapigana kuwasajili wachezaji hao kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.
Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti alisema jumanne kuwa Di Maria na Khedira wanaweza kuondoka.
Di Maria amekuwa katika rada za Louis Van Gaal kwa majira yote ya kiangazi wakati Khedira alimuona wakati anafundisha soka nchini Ujerumani.
Wanted: Di Maria remains a top target for Louis van Gaal and Manchester United this summer
Anawindwa: Di Maria ndiye chaguo namba moja la Louis van Gaal na Manchester United majira haya ya kiangazi.
Open offer: Carlo Ancelotti says ¿if Di Maria doesn¿t find a solution for his future, we would welcome him back'
Milango wazi: Carlo Ancelotti alisema 'kama Di Maria hatapata suluhisho la hatima yake ya baadaye, kwa furaha tutapenda kumkaribisha tena.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox