STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 18 Agosti 2014

MANUEL PELLEGRINI AONYA KIKOSI CHAKE NI BORA KULIKO MWAKA MMOJA ULIOPITA

Confident: Manuel Pellegrini is adamant that his title-winning City squad has progressed during his first year
Manuel Pellegrini anaamini kikosi chake cha ubingwa kimeimarika zaidi kwa kipindi chake cha mwaka mmoja.

KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini anajiamini kuwa kikosi chake kilichoshinda ubingwa msimu uliopita kimekuwa bora zaidi msimu huu.
Mabingwa hao watetezi wa ligi kuu England walizindua kampeni zao za EPL kwa kuitandika Newcastle United mabao 2-0 jana jumapili.
Pellegrini alifurahishwa na ushindi huo licha ya wachezaji wake wengi waliocheza kombe la dunia kutokuwa fiti ipasavyo.
Lakini anajua kuwa kutakuwa na ushindani mkubwa kwa mara nyingine tena msimu huu, ila ameonya kuwa kikosi chake kimeimarika zaidi chini yake.
Champions: Manuel Pellegrini won the Premier League title during his first year in English football last season
Mabingwa: Manuel Pellegrini alishinda taji la ligi kuu England msimu uliopita.

Alisema: "Ni ngumu sana kufananisha kila mwaka. Labda msimu uliopita watu wengi walinihofia kuwa sitaweza kutwaa ubingwa kwasababu ulikuwa msimu wangu wa kwanza wa ligi kuu England".
"Leo tuna mwaka mmoja tukifanya kazi na kikosi na nadhani pia tuna kikosi bora".
"Lakini siku zote England kuna timu tano au sita ambazo zinaweza kutwaa ubingwa, hivyo njaa tuliyoanza nayo katika mechi ya kwanza tunatakiwa kuendelea na wewe"

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox