STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 4 Agosti 2014

NINI MAONI YAKO JUU YA USAJILI HUU WA LIVERPOOL?

Klabu ya Liverpool mpaka sasa imeshatumia kiasi cha zaidi ya £100m kufanya usajili - Rickie Lambert, Adam Lallana, Dejan Lovren, Lazar Markovic, Divock Origi, Emre Can, na wapo njiani kukamilisha usajili wa Alberto Moreno na Javier Manquillo.

Wasiwasi wangu ni kwamba wamefanya usajili mzuri lakini hakuna mchezaji wa daraja la dunia aliyesajiliwa mpaka sasa ili kuiongezea timu makali ukizingatia safari hi wanashiriki kwenye michuano yote ya ndani na nje. Wamemuuza Luis Suarez kasajiliwa Rickie Lambert - Maoni yenu kuhusu usajili wa Liverpool na nafasi yao kwenye msimu ujao....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox