Klabu ya Liverpool mpaka sasa
imeshatumia kiasi cha zaidi ya £100m kufanya usajili - Rickie Lambert, Adam
Lallana, Dejan Lovren, Lazar Markovic, Divock Origi, Emre Can, na wapo njiani
kukamilisha usajili wa Alberto Moreno na Javier Manquillo.
Wasiwasi wangu ni
kwamba wamefanya usajili mzuri lakini hakuna mchezaji wa daraja la dunia
aliyesajiliwa mpaka sasa ili kuiongezea timu makali ukizingatia safari hi
wanashiriki kwenye michuano yote ya ndani na nje. Wamemuuza Luis
Suarez kasajiliwa Rickie
Lambert - Maoni yenu
kuhusu usajili wa Liverpool na nafasi yao kwenye msimu ujao....
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni