Wayne Mark Rooney. |
.
Rooney mwenye umri wa miaka 28 alitangazwa pia kuwa nahodha wa klabu yake ya Manchester utd mapema mwezi huu, amefanikiwa kuichezea timu yake ya taifa ya England mechi 95 huku akiifungia magoli 40. Uteuzi huo metangazwa na meneja wa timu hiyo Roy Hodgoson.
England inajiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Norway September 3 mwaka huu katika uwanja waWembley kablaya mechiya kufuzu kwa michuano ya mataifa ya ulaya dhidi ya Switzerland September 8 mwakahuu, michuano hiyo ya Ulaya yatafanyika mwaka 2016.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni