STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 27 Septemba 2014

ARSENAL CHUPUCHUPU KWA SPURS, 1-1


KIUNGO Alex Oxlade-Chamberlain ameinusuru Arsenal kulala mbele ya Tottenham Hotspur baada ya kuifungia bao la kusawazisha katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Emirates.
Muingereza huyo alifunga bao hilo dakika ya 74 baada ya pasi nzuri ya Danny Welbeck. Spurs ilipata bao lake kupitia kwa Nacer Chadli.
Mkombozi; Alex Oxlade- Chamberlain akishukuru baada ya kuifungia Arsenal bao la kusawazisha leo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox