STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 28 Septemba 2014

DIEGO COSTA NI HABARI NYINGINE...THE BLUES KILELENI ENGLAND



Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akishangilia jana baada ya kufunga katika ushindi wa 3-0 wa timu yake dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine yalifungwa na Oscar na Willian na sasa The Blues wapo kileleni mwa Ligi Kuu England. Chelsea ina pointi 16, ikifuatiwa na Southampton pointi 13, Manchester City pointi 11, Arsenal pointi 10 sawa na Swansea City na Aston Vila baada ya kila timu kucheza mechi sita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox