STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 13 Septemba 2014

DIEGO COSTA NI NOUMA SANA, APIGA 'HAT-TRICK' CHELSEA IKIITWANGA 4-2 SWANSEA CITY DARAJANI

Chelsea summer signing Diego Costa showed his class by netting a hat-trick against Swansea City 
 Diego Costa ameonesha ubora wake wa kufumania nyavu baada ya kufunga mabao matatu dhidi ya Swansea City. 

KAMA Diego Costa alikuwa na bei ya Paundi milioni 320, bado alistahili thamani hiyo.
Ni kitu gani hiki Mhispania huyu ameleta katika ligi England?
Amefunga magoli saba katika mechi nne tangu awasili Chelsea akitokea Atletico Madrid kwa dau la paundi milioni 32.
Amefikisha idadi hiyo baada ya kufunga mabao matatu  'Hat-tric' dhidi ya Swansea City jioni ya leo, Chelsea ikishinda 4-2 Stamford Bridge. 
Kwa asilimia 100 ni rekodi nzuri mno kwa nyota huyu aliyetamba na Atletico msimu uliopita.
Ushindi huu umewasha taa nyekundu kwa wapinzani wa ubingwa wa EPL na umeonesha kuwa timu ya Jose Mourinho ni hatari msimu huu.
Former Queens Park Rangers striker Loic Remy scored on his Chelsea debut to make it 4-1
Mshambuliaji wa zamani wa Queens Park Rangers,Loic Remy akifunga bao katika mechi ya kwanza na kuufanya ubao wa matangazo kusomeka 4-1

MATOKEO YA MECHI ZILIZOMALIZIKA HAYA HAPA
ENGLAND: Premier League
04:45FinishedArsenal2 - 2Manchester City


07:00FinishedChelsea4 - 2Swansea


07:00FinishedCrystal Palace0 - 0Burnley


07:00FinishedSouthampton4 - 0Newcastle Utd


07:00FinishedStoke City0 - 1Leicester


07:00FinishedSunderland2 - 2Tottenham


07:00FinishedWest Brom0 - 2Everton

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox